Swali: Mke anatalikika kutoka kwa mwanaume ambaye ameshikwa na wazimu?
Jibu: Hapana, mke wake hatalikiki kutoka kwake. Lakini mwanamke akiomba kufuta ndoa kwa ajili ya kujiondoshea madhara afanye hivo. Endapo atasubiri kwa sababu huenda fahamu ikamrudi au akamvumilia ni sawa vilevile.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 12/01/2017
Swali: Mke anatalikika kutoka kwa mwanaume ambaye ameshikwa na wazimu?
Jibu: Hapana, mke wake hatalikiki kutoka kwake. Lakini mwanamke akiomba kufuta ndoa kwa ajili ya kujiondoshea madhara afanye hivo. Endapo atasubiri kwa sababu huenda fahamu ikamrudi au akamvumilia ni sawa vilevile.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 12/01/2017
https://firqatunnajia.com/mke-anaachika-kutoka-kwa-mume-aliyeshikwa-na-wazimu/