Mjamzito kuswali juu ya kiti au kwa kukaa

Swali: Mwanamke mwenye mimba anapochoka wakati mwingine inajuzu kwake kuswali swalah za faradhi kwa kukaa au juu ya kiti?

Jibu: Ndio. Akihitajia kuswali kwa kukaa au kuswali juu ya kiti kwa sababu ya ujauzito, ni mwenye kupewa udhuru.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-23.mp3
  • Imechapishwa: 20/08/2020