Swali: Mwanamke mwenye mimba anapochoka wakati mwingine inajuzu kwake kuswali swalah za faradhi kwa kukaa au juu ya kiti?
Jibu: Ndio. Akihitajia kuswali kwa kukaa au kuswali juu ya kiti kwa sababu ya ujauzito, ni mwenye kupewa udhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-23.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Mwanamke mwenye mimba anapochoka wakati mwingine inajuzu kwake kuswali swalah za faradhi kwa kukaa au juu ya kiti?
Jibu: Ndio. Akihitajia kuswali kwa kukaa au kuswali juu ya kiti kwa sababu ya ujauzito, ni mwenye kupewa udhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-23.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/mjamzito-kuswali-juu-ya-kiti-au-kwa-kukaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)