Swali: Imeshurutishwa kuweka nia wakati wa kutaka kujumuisha [swalah mbili]?
Jibu: Bila ya shaka. Hakika ya kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivonuia. Ni lazima kuweka nia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-16.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Imeshurutishwa kuweka nia wakati wa kutaka kujumuisha [swalah mbili]?
Jibu: Bila ya shaka. Hakika ya kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivonuia. Ni lazima kuweka nia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-16.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuweka-nia-wakati-wa-kujumuisha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)