Swali: Imeshurutishwa kuweka nia wakati wa kutaka kujumuisha [swalah mbili]?

Jibu: Bila ya shaka. Hakika ya kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivonuia. Ni lazima kuweka nia.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-16.mp3
  • Imechapishwa: 20/08/2020