Swali: Niliiba miwani nilipokuwa mdogo na bado nimeihifadhi. Sijui bei yake na nimesahau mahali nilipoiiba. Hivi sasa nimetubu kwa Allaah. Nifanye nini?
Jibu: Kadiria thamani yake na mtolee swadaqah mwenye nayo thamani hiyo pamoja na kutubia kwa Allaah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/عليكم-بسنتي-وسنة-الخلفاء-الراشدين
- Imechapishwa: 20/06/2022
Swali: Niliiba miwani nilipokuwa mdogo na bado nimeihifadhi. Sijui bei yake na nimesahau mahali nilipoiiba. Hivi sasa nimetubu kwa Allaah. Nifanye nini?
Jibu: Kadiria thamani yake na mtolee swadaqah mwenye nayo thamani hiyo pamoja na kutubia kwa Allaah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/عليكم-بسنتي-وسنة-الخلفاء-الراشدين
Imechapishwa: 20/06/2022
https://firqatunnajia.com/miwani-aliyoiba-akiwa-mdogo/