Swali: Je, ni kweli kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko hai ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio, yuhai uhai wa maisha ya ndani ya kaburi. Allaah ameeleza kwamba mashahidi pia wako hai. Lakini hata hivyo inahusiana na maisha ya ndani ya kaburi na sio kama maisha waliokuwa nayo duniani. Ni maisha ya ndani ya kaburi. Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam) ni wakubwa zaidi kuliko mashahidi. Wao wako na haki zaidi ya kuwa hai ndani ya makaburi yao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 20/04/2019
Swali: Je, ni kweli kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko hai ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio, yuhai uhai wa maisha ya ndani ya kaburi. Allaah ameeleza kwamba mashahidi pia wako hai. Lakini hata hivyo inahusiana na maisha ya ndani ya kaburi na sio kama maisha waliokuwa nayo duniani. Ni maisha ya ndani ya kaburi. Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam) ni wakubwa zaidi kuliko mashahidi. Wao wako na haki zaidi ya kuwa hai ndani ya makaburi yao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
Imechapishwa: 20/04/2019
https://firqatunnajia.com/mitume-na-mashahidi-wako-hai-ndani-ya-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)