Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Siwaak na dawa ya meno mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kutumia Siwaak[1] hapana vibaya. Haijalishi kitu hata kama ni wa kijani. Kuhusu dawa ya meno tunashauri kuiepuka katika Ramadhaan. Hatuna dalili inayoonyesha kuwa inaharibu swawm. Hata hivyo ni wajibu kwa mtu kuwa makini ili kusiingie kitu tumboni mwake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanya kishindo katika kuyapindisha maji puani isipokuwa ukiwa umefunga.”
Kwa sababu ikiwa amefunga kuna khatari maji yakaingia tumboni mwake.
[1] Tazama https://sw.wikipedia.org/wiki/Mswaki_(mti)
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 78-79
- Imechapishwa: 16/03/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Siwaak na dawa ya meno mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kutumia Siwaak[1] hapana vibaya. Haijalishi kitu hata kama ni wa kijani. Kuhusu dawa ya meno tunashauri kuiepuka katika Ramadhaan. Hatuna dalili inayoonyesha kuwa inaharibu swawm. Hata hivyo ni wajibu kwa mtu kuwa makini ili kusiingie kitu tumboni mwake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanya kishindo katika kuyapindisha maji puani isipokuwa ukiwa umefunga.”
Kwa sababu ikiwa amefunga kuna khatari maji yakaingia tumboni mwake.
[1] Tazama https://sw.wikipedia.org/wiki/Mswaki_(mti)
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 78-79
Imechapishwa: 16/03/2024
https://firqatunnajia.com/mfungaji-kuwa-mwangalifu-ukitumia-dawa-ya-meno/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)