Swali: Ni ipi haya inayosimangwa?
Jibu: Ni ule udhaifu unaomzuia mtu kufanya yale mambo anayotakiwa kufanya kama vile kuzungumza maneno ya kheri au kufanya mambo ya kheri na kuongea haki.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24175/ما-حقيقة-الحياء-المذموم-والخجل
- Imechapishwa: 08/09/2024
Swali: Ni ipi haya inayosimangwa?
Jibu: Ni ule udhaifu unaomzuia mtu kufanya yale mambo anayotakiwa kufanya kama vile kuzungumza maneno ya kheri au kufanya mambo ya kheri na kuongea haki.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24175/ما-حقيقة-الحياء-المذموم-والخجل
Imechapishwa: 08/09/2024
https://firqatunnajia.com/mfano-wa-haya-inayosimangwa/