Swali: Amesema (Ta´ala):
أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
”Tanabahi! Hakika mawalii wa Allaah hakuna khofu juu yao na wala hawatohuzunika.”[1]
Je, ni dalili juu ya yale wanayosema kuhusu kufaa kujikurubisha kwa mawalii na kuwaomba?
Jibu: Hapana. Hapa wanasifiwa. Kwa sababu wamemwamini na wakamcha. Kama wamesifiwa ndio ina maana kuwa wanaabudiwa badala ya Allaah? Mitume pia wamesifiwa kwamba wamemwamini na wakamtii Allaah na wakafikisha ujumbe Wake. Haya ni matendo yao wao. Haijuzu kuwaomba. Amesema (Ta´ala):
فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّـهِ أَحَدًا
“Hivyo basi msiombe yeyote pamoja na Allaah.”[2]
[1] 10:62
[2] 72:18
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 39
- Imechapishwa: 21/10/2021
Swali: Amesema (Ta´ala):
أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
”Tanabahi! Hakika mawalii wa Allaah hakuna khofu juu yao na wala hawatohuzunika.”[1]
Je, ni dalili juu ya yale wanayosema kuhusu kufaa kujikurubisha kwa mawalii na kuwaomba?
Jibu: Hapana. Hapa wanasifiwa. Kwa sababu wamemwamini na wakamcha. Kama wamesifiwa ndio ina maana kuwa wanaabudiwa badala ya Allaah? Mitume pia wamesifiwa kwamba wamemwamini na wakamtii Allaah na wakafikisha ujumbe Wake. Haya ni matendo yao wao. Haijuzu kuwaomba. Amesema (Ta´ala):
فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّـهِ أَحَدًا
“Hivyo basi msiombe yeyote pamoja na Allaah.”[2]
[1] 10:62
[2] 72:18
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 39
Imechapishwa: 21/10/2021
https://firqatunnajia.com/mawalii-wa-allaah-hawaabudiwi-pamoja-na-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)