Swali: Ni ipi hukumu ya kumpelekea maua mgonjwa au katika minasaba mingine?
Jibu: Hii ni katika desturi za makafiri na si katika desturi za waislamu. Kuwapelekea maua wagonjwa, ni katika desturi za makafiri. Haitakiwi kwa waislamu kufanya jambo hilo. Mwombee du´aa mgonjwa. Ikiwa wanataka kumnufaisha mgonjwa, wamwombee du´aa au wamfanyie matibabu. Mgonjwa hanufaiki kitu kwa maua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 13/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)