Ombaomba amepotea na hajulikani alipo

Swali: Kuna mtu fakiri alinijia akaniomba pesa. Nikamwambia asubiri na nikamkusanyia pesa kutoka kwa baadhi ya watu. Nilipokuja katika miadi tuliyokubaliana hakutokozea. Je, inafaa kwangu kumpa pesa hiyo masikini mwingine?

Jibu: Ndio. Mpe masikini au wamasikini wengine.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
  • Imechapishwa: 13/05/2023