Swali: Kuna mwanamke ambaye anayo kasoro ya kimaumbile katika meno yake. Je, inafaa kwake kujitibisha na kuweka sawa?
Jibu: Ndio, hapana vibaya ikiwa ni matibabu. Kilichokatazwa ni kutia mwanya.
Swali: Je, inafaa kung´oa jino lililozidi katika ufizi?
Jibu: Ndio, ikiwa manufaa yamepelekea kufanya hivo. Huku sio kutia mwanya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23545/هل-يجوز-علاج-الاسنان-بالتقويم-والتسوية
- Imechapishwa: 09/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)