Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muumini ni yule ambaye anapofanya kitendo chema kinamfurahisha na anatarajia thawabu zake. Na anapofanya kitendo kiovu kinamfanya vibaya na anachelea adhabu yake.”
Hichi ni kitendo kilicho na thawabu na adhabu. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni kitendo cha ulimi au ni kitendo cha viungo. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa matendo ni katika imani. Vilevile [ni dalili inayoonyesha kuwa] matendo yanalipwa thawabu na adhabu. Muumini anafurahi kwacho ikiwa ni kitendo chema na kinamfanya vibaya ikiwa ni kitendo kiovu. Lau ingelikuwa kweli matendo sio katika imani basi yasingelipewa hadhi hii katika Uislamu.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaaswid Kitaab-ish-Sharï´ah (2/19)
- Imechapishwa: 26/08/2020
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muumini ni yule ambaye anapofanya kitendo chema kinamfurahisha na anatarajia thawabu zake. Na anapofanya kitendo kiovu kinamfanya vibaya na anachelea adhabu yake.”
Hichi ni kitendo kilicho na thawabu na adhabu. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni kitendo cha ulimi au ni kitendo cha viungo. Hii ni dalili inayoonyesha kuwa matendo ni katika imani. Vilevile [ni dalili inayoonyesha kuwa] matendo yanalipwa thawabu na adhabu. Muumini anafurahi kwacho ikiwa ni kitendo chema na kinamfanya vibaya ikiwa ni kitendo kiovu. Lau ingelikuwa kweli matendo sio katika imani basi yasingelipewa hadhi hii katika Uislamu.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaaswid Kitaab-ish-Sharï´ah (2/19)
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/matendo-yanaingia-katika-imani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)