Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Je, matendo ni katika kukamilika kwa imani au ni katika kusihi kwake?
Jibu: Hayasihi isipokuwa kwa nia. Matendo ya ´ibaadah hayasihi isipokuwa kwa nia:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23455/هل-النية-شرط-لصحة-العمل-ام-لكمال-الايمان
- Imechapishwa: 25/01/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Je, matendo ni katika kukamilika kwa imani au ni katika kusihi kwake?
Jibu: Hayasihi isipokuwa kwa nia. Matendo ya ´ibaadah hayasihi isipokuwa kwa nia:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23455/هل-النية-شرط-لصحة-العمل-ام-لكمال-الايمان
Imechapishwa: 25/01/2024
https://firqatunnajia.com/matendo-hayasihi-bila-ya-nia/