Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Je, matendo ni katika kukamilika kwa imani au ni katika kusihi kwake?
Jibu: Hayasihi isipokuwa kwa nia. Matendo ya ´ibaadah hayasihi isipokuwa kwa nia:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23455/هل-النية-شرط-لصحة-العمل-ام-لكمال-الايمان
- Imechapishwa: 25/01/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Je, matendo ni katika kukamilika kwa imani au ni katika kusihi kwake?
Jibu: Hayasihi isipokuwa kwa nia. Matendo ya ´ibaadah hayasihi isipokuwa kwa nia:
“Hakika kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23455/هل-النية-شرط-لصحة-العمل-ام-لكمال-الايمان
Imechapishwa: 25/01/2024
https://firqatunnajia.com/matendo-hayasihi-bila-ya-nia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)