Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Baadhi yenu wasiuze juu ya [bidhaa ya] wengine.”
Jibu: Kwa mfano umemuona mwenzako anauza kwa pesa 1000 ukamwambia mteja wake kwamba utamuuzia kwa pesa 900 na aje kununua kwako au kwamba utampa bidhaa bora zaidi kuliko ya huyo mwengine ili amwache. Huku ndio kuuza juu ya bidhaa ya ndugu yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23454/معنى-حديث-لا-يبع-بعضكم-على-بيع-بعض
- Imechapishwa: 25/01/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Baadhi yenu wasiuze juu ya [bidhaa ya] wengine.”
Jibu: Kwa mfano umemuona mwenzako anauza kwa pesa 1000 ukamwambia mteja wake kwamba utamuuzia kwa pesa 900 na aje kununua kwako au kwamba utampa bidhaa bora zaidi kuliko ya huyo mwengine ili amwache. Huku ndio kuuza juu ya bidhaa ya ndugu yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23454/معنى-حديث-لا-يبع-بعضكم-على-بيع-بعض
Imechapishwa: 25/01/2024
https://firqatunnajia.com/maana-ya-kuuza-juu-ya-bidhaa-ya-ndugu-yako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)