Swali: Je, ni katika kusitiri nikimuona mtu anafanya maovu nisimfedheheshe na nimnyamazie?
Jibu: Ikiwa ni katika mafungamano maalum ya kisiri amsitiri na amnasihi. Lakini ikiwa ni kati ya watu basi yeye mwenyewe ndiye ameifedhehi nafsi yake. Ama ikiwa umeingia kwake nyumbani kwake, maeneo maalum na ukamuona unapaswa kumsitiri na kumshauri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23449/متى-يشرع-الستر-او-الكشف-عمن-اتى-منكرا
- Imechapishwa: 25/01/2024
Swali: Je, ni katika kusitiri nikimuona mtu anafanya maovu nisimfedheheshe na nimnyamazie?
Jibu: Ikiwa ni katika mafungamano maalum ya kisiri amsitiri na amnasihi. Lakini ikiwa ni kati ya watu basi yeye mwenyewe ndiye ameifedhehi nafsi yake. Ama ikiwa umeingia kwake nyumbani kwake, maeneo maalum na ukamuona unapaswa kumsitiri na kumshauri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23449/متى-يشرع-الستر-او-الكشف-عمن-اتى-منكرا
Imechapishwa: 25/01/2024
https://firqatunnajia.com/ni-lini-unapaswa-kumsitiri-mtenda-dhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)