Swali: Je, kutumiwe dalili ya wingi wa watu katika kuikubali haki?
Jibu: Wingi wa watu sio dalili. Dalili zinatambulika kwa maana ya kile kilichowekwa na dalili za Shari´ah na si kwa wingi:
وَمَا أَكْثَرُ النَّاسِ وَلَوْ حَرَصْتَ بِمُؤْمِنِينَ
“Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi vipi.” (12:103)
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23458/هل-يستشهد-بالكثرة-على-قبول-الحق
- Imechapishwa: 25/01/2024
Swali: Je, kutumiwe dalili ya wingi wa watu katika kuikubali haki?
Jibu: Wingi wa watu sio dalili. Dalili zinatambulika kwa maana ya kile kilichowekwa na dalili za Shari´ah na si kwa wingi:
وَمَا أَكْثَرُ النَّاسِ وَلَوْ حَرَصْتَ بِمُؤْمِنِينَ
“Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi vipi.” (12:103)
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23458/هل-يستشهد-بالكثرة-على-قبول-الحق
Imechapishwa: 25/01/2024
https://firqatunnajia.com/haki-haikubaliwi-kwa-kuangalia-wingi-wa-wafuasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)