Swali: Je, hukumu inakuwa sawa ikiwa kunatokea kudidimizwa katika baadhi ya miji baada ya Mitume?
Jibu: Udhahiri ni kwamba [makatazo] ni yenye kuenea. Hawa ni wenye kuadhibiwa, kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Msiingie kwa hawa walioadhibiwa mkaja kufikwa na yale yaliyowafika.”
Tunamuomba Allaah usalama. Mtu anatakiwa kujiweka mbali na maeneo hayo na aswali sehemu nyingine.
Swali: Ni kwa njia ya kuchukiza?
Jibu: Udhahiri wa makatazo ni haramu. Makusudio yake hapa ni uharamu. Haya ndio makusudio yake.
Swali: Hakukisiwi kiwango cha uharamu yaliyoachiwa kutokana na yale yaliyopokelewa kutoka kwa Salaf?
Jibu: Kulingana na dalili.
Swali: Swalah inasihi?
Jibu: Udhahiri wa makatazo ni uharamu na hivyo haisihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23626/حكم-الدخول-على-من-خسف-بهم-بعد-الانبياء
- Imechapishwa: 02/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket