Swali: Hadiyth ya Abu Hurayrah inajulisha kuwa matajiri ni bora kuliko mafukara?
Jibu: Wamefanya matendo ya mafukara na wakazidisha juu yao kwa kutoa swadaqah kwa mujibu wa matendo yao. Kila ambavo yatazidi matendo mema ndivo unavyozidi ubora. Tajiri mwenye kushukuru ni bora kuliko fakiri kwenye kusubiri, kwa sababu tajiri huyu yuko na uwezo wa kufanya maasi, lakini Allaah akamlinda na akamtumia katika mambo ya utiifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23046/من-الافضل-الغني-الشاكر-ام-الفقير-الصابر
- Imechapishwa: 21/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)