Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna mashindano isipokuwa katika ngamia, farasi au risasi.”[1]
Hiyo ina maana kwamba mashindano ya ngamia warembo yanafaa?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Ni katika kamari. Ukiongezea pia kwamba hutumika pesa nyingi.
[1] Abû Dâwûd (2574). Autentisk enligt al-Albânî i “Sahîh Sunan Abî Dâwûd” (2574).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 04/03/2022
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna mashindano isipokuwa katika ngamia, farasi au risasi.”[1]
Hiyo ina maana kwamba mashindano ya ngamia warembo yanafaa?
Jibu: Hapana. Haijuzu. Ni katika kamari. Ukiongezea pia kwamba hutumika pesa nyingi.
[1] Abû Dâwûd (2574). Autentisk enligt al-Albânî i “Sahîh Sunan Abî Dâwûd” (2574).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 04/03/2022
https://firqatunnajia.com/mashindano-ya-ngamia-warembo/