Swali: Kutokana na msongamano wa watu wengi katika misikiti miwili Mitukufu au misikiti mingine mikubwa, inatokea mtu anakosa viatu vyake. Baada ya kusubiri kitambo kirefu anapata viatu vengine visivyokuwa na mmiliki. Je, inafaa kwake kuvichukua?
Jibu: Ikiwa ni viatu vilivyotupwa na vilivyokusanywa kwenye takataka, haina neno. Lakini kama vimetunzwa na pengine wenye navyo wakaja kuvichukua, usivichukue.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 04/03/2022
Swali: Kutokana na msongamano wa watu wengi katika misikiti miwili Mitukufu au misikiti mingine mikubwa, inatokea mtu anakosa viatu vyake. Baada ya kusubiri kitambo kirefu anapata viatu vengine visivyokuwa na mmiliki. Je, inafaa kwake kuvichukua?
Jibu: Ikiwa ni viatu vilivyotupwa na vilivyokusanywa kwenye takataka, haina neno. Lakini kama vimetunzwa na pengine wenye navyo wakaja kuvichukua, usivichukue.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 04/03/2022
https://firqatunnajia.com/amekosa-viatu-vyake-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)