Swali: Wakati nilipokuwa kijana nilichukua pesa za watu kwa dhuluma. Nifanye nini kwa sababu siwajui watu hao?
Jibu: Ikiwa huwajui na wala huwezi kuwafikishia pesa zao, zitoe swadaqah kwa lengo thawabu ziwaendee wenye nazo. Kazi yako unatakiwa kujikwamua na pesa hizo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 04/03/2022
Swali: Wakati nilipokuwa kijana nilichukua pesa za watu kwa dhuluma. Nifanye nini kwa sababu siwajui watu hao?
Jibu: Ikiwa huwajui na wala huwezi kuwafikishia pesa zao, zitoe swadaqah kwa lengo thawabu ziwaendee wenye nazo. Kazi yako unatakiwa kujikwamua na pesa hizo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 04/03/2022
https://firqatunnajia.com/mwizi-aliyetubu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)