Swali: Vipi kuhusu kujengea hoja ya mashairi katika Khutbah?
Jibu: Hakuna neno ikiwa mashairi hayo yanakubaliwa kwa mujibu wa Shari´ah na yamesalimika hakuna ndani yake kitu:
“Hakika katika mashairi kuna hekima.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 166
- Imechapishwa: 16/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)