Swali: Ni haramu kusikiliza nyimbo?

Jibu: Ndio. Nyimbo na muziki ni miongoni mwa maovu mabaya na ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 171
  • Imechapishwa: 16/02/2023