Swali: Je, anayejenga msikiti na kuuweka mapambo anapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Ajenge jengo imara na zuri lisilowaweka watu khatarini. Aache mapambo yasiyokuwa na haja. Atilie umuhimu uimara.
Swali: Mnara unachukua kiwango kikubwa cha pesa.
Jibu: Ni lazima kuwepo mnara ili watu wafikiwe [na sauti ya muadhini].
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23635/ما-حكم-زخرفة-المسجد-وبناء-المنارة
- Imechapishwa: 02/03/2024
Swali: Je, anayejenga msikiti na kuuweka mapambo anapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Ajenge jengo imara na zuri lisilowaweka watu khatarini. Aache mapambo yasiyokuwa na haja. Atilie umuhimu uimara.
Swali: Mnara unachukua kiwango kikubwa cha pesa.
Jibu: Ni lazima kuwepo mnara ili watu wafikiwe [na sauti ya muadhini].
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23635/ما-حكم-زخرفة-المسجد-وبناء-المنارة
Imechapishwa: 02/03/2024
https://firqatunnajia.com/mapambo-yasiyokuwa-na-haja-hayatakiwi-msikitini/