Swali: Je, manukato yanapaswa kuwekwa kwenye nguo za Ihraam au mwilini?
Jibu: Manukato yanapaswa kuwekwa mwilini, siyo kwenye nguo za Ihraam. Manukato huwekwa mwilini kama vile kichwani na ndevu.
Swali: Je, ni lazima kuosha manukato yaliyowekwa mwilini iwapo yatafika kwenye nguo za Ihraam au yanasamehewa?
Jibu: Jambo lililo karibu zaidi ni kuyasafisha. Ikiwezekana kuyasafisha, kufanya hivyo ni bora na ni salama zaidi kwa mujibu wa Hadiyth inayosema:
“Msivae chochote kilichoguswa na zafarani au Wars [aina ya manukato].”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24952/حكم-زي-الاحرام-اذا-اصابه-شيء-من-طيب-البدن
- Imechapishwa: 11/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)