Swali: Je, maneno ya Shaykh-ul-Islaam kwamba mtu anayefanya ´Umrah ya peke yake katika Ramadhaan na kubaki Makkah mpaka Hijjah ni bora kuliko yule anayefanya Tamattu’ wakati wa Hijjah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hili ni eneo lenye nafasi ya kuzingatia. Jambo ni lenye wasaa. Ikiwa mtu atafanya ´Umrah katika Ramadhaan na kubaki mpaka ahiramie kwa ajili ya Hijjah hakuna tatizo. Na ikiwa anataka kuchukua ´Umrah katika miezi ya Hijjah, pia hakuna tatizo. Lakini makusudio yanayozungumziwa katika Hadiyth ni pale mtu anapokuja kufanya ´Umrah katika miezi ya Hijjah – hili ndilo eneo la kuzingatia. Ama yule anayefika katika Ramadhaan, Sunnah ni ahiramie kwa ´Umrah peke yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24954/حكم-من-اعتمر-في-رمضان-وبقي-الى-الحج
- Imechapishwa: 11/01/2025
Swali: Je, maneno ya Shaykh-ul-Islaam kwamba mtu anayefanya ´Umrah ya peke yake katika Ramadhaan na kubaki Makkah mpaka Hijjah ni bora kuliko yule anayefanya Tamattu’ wakati wa Hijjah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hili ni eneo lenye nafasi ya kuzingatia. Jambo ni lenye wasaa. Ikiwa mtu atafanya ´Umrah katika Ramadhaan na kubaki mpaka ahiramie kwa ajili ya Hijjah hakuna tatizo. Na ikiwa anataka kuchukua ´Umrah katika miezi ya Hijjah, pia hakuna tatizo. Lakini makusudio yanayozungumziwa katika Hadiyth ni pale mtu anapokuja kufanya ´Umrah katika miezi ya Hijjah – hili ndilo eneo la kuzingatia. Ama yule anayefika katika Ramadhaan, Sunnah ni ahiramie kwa ´Umrah peke yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24954/حكم-من-اعتمر-في-رمضان-وبقي-الى-الحج
Imechapishwa: 11/01/2025
https://firqatunnajia.com/anayefanya-umrah-katika-ramadhaan-na-akabaki-mpaka-wakati-wa-hijjah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)