Swali: Mtu aliyefanya Hijjah peke yake na akataka kufanya ´Umrah baada ya Hijjah anatakiwa kuhiramia kutoka Tan’iym au kutoka kwenye kituo?
Jibu: Anatakiwa kuhiramia kutoka Tan’iym, kama alivyofanya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa). Kufanya hivo inatosha. Kwa msemo mwingine kutoka nje ya Haram.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24955/ما-حكم-من-اتى-بالحج-مفردا-واراد-عمرة-بعده
- Imechapishwa: 11/01/2025
Swali: Mtu aliyefanya Hijjah peke yake na akataka kufanya ´Umrah baada ya Hijjah anatakiwa kuhiramia kutoka Tan’iym au kutoka kwenye kituo?
Jibu: Anatakiwa kuhiramia kutoka Tan’iym, kama alivyofanya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa). Kufanya hivo inatosha. Kwa msemo mwingine kutoka nje ya Haram.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24955/ما-حكم-من-اتى-بالحج-مفردا-واراد-عمرة-بعده
Imechapishwa: 11/01/2025
https://firqatunnajia.com/amefanya-hijjah-peke-yake-na-akataka-kufanya-umrah-baada-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)