Swali: Je, inafaa kuswali Rak´ah mbili za Ihraam wakati wa muda wa kukatazwa kuswali?
Jibu: Mtu aliyetawadha, anatakiwa kuswali Sunnah ya wudhuu´ ambayo haina muda maalum wa katazo. Pia Sunnah ya mamkuzi ya msikiti au Sunnah ya kupatwa kwa jua au mwezi zote ni sehemu ya swalah zinazoruhusiwa kwa sababu maalum.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24951/حكم-صلاة-ركعتي-الاحرام-في-وقت-النهي
- Imechapishwa: 11/01/2025
Swali: Je, inafaa kuswali Rak´ah mbili za Ihraam wakati wa muda wa kukatazwa kuswali?
Jibu: Mtu aliyetawadha, anatakiwa kuswali Sunnah ya wudhuu´ ambayo haina muda maalum wa katazo. Pia Sunnah ya mamkuzi ya msikiti au Sunnah ya kupatwa kwa jua au mwezi zote ni sehemu ya swalah zinazoruhusiwa kwa sababu maalum.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24951/حكم-صلاة-ركعتي-الاحرام-في-وقت-النهي
Imechapishwa: 11/01/2025
https://firqatunnajia.com/rakah-mbili-za-ihraam-wakati-wa-muda-wa-kukatazwa-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)