Swali: Tumesoma katika darsa iliyopita ya kwamba wakati mwanamke anapotoka kwenye hedhi atumie manukato. Je, kuna manukato maalum kwa vile kuna baadhi ya manukato ambayo bei yake ni ghali sawa na Riyaal 1000 na mengine Riyaal 30? Je, kuna mpaka katika Sunnah?
Jibu: Muhimu atumie manukato mazuri ambayo yataondosha harufu ya hedhi, ni mamoja yakiwa ni bei ghali au bei nafuu. Lililo muhimu ni yeye aondoshe harufu ya hedhi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-09.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Tumesoma katika darsa iliyopita ya kwamba wakati mwanamke anapotoka kwenye hedhi atumie manukato. Je, kuna manukato maalum kwa vile kuna baadhi ya manukato ambayo bei yake ni ghali sawa na Riyaal 1000 na mengine Riyaal 30? Je, kuna mpaka katika Sunnah?
Jibu: Muhimu atumie manukato mazuri ambayo yataondosha harufu ya hedhi, ni mamoja yakiwa ni bei ghali au bei nafuu. Lililo muhimu ni yeye aondoshe harufu ya hedhi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-09.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/manukato-anayotumia-mwanamke-wa-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)