Swali: Hakika ya Irjaa´ inapokuja katika imani.
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa matendo hayaingii katika imani na kwamba imani ni maneno peke yake. Maneno pamoja na utambuzi. Haya ni maoni dhaifu wanayoitakidi Murji-ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23521/ما-حقيقة-الارجاء-في-الايمان
- Imechapishwa: 08/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)