Swali: Hakika ya Irjaa´ inapokuja katika imani.
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa matendo hayaingii katika imani na kwamba imani ni maneno peke yake. Maneno pamoja na utambuzi. Haya ni maoni dhaifu wanayoitakidi Murji-ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23521/ما-حقيقة-الارجاء-في-الايمان
- Imechapishwa: 08/02/2024
Swali: Hakika ya Irjaa´ inapokuja katika imani.
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa matendo hayaingii katika imani na kwamba imani ni maneno peke yake. Maneno pamoja na utambuzi. Haya ni maoni dhaifu wanayoitakidi Murji-ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23521/ما-حقيقة-الارجاء-في-الايمان
Imechapishwa: 08/02/2024
https://firqatunnajia.com/maneno-dhaifu-kuhusu-imani/