Swali: Mama yangu alikufa alipokuwa na miaka. Akazikwa pamoja na mwanamke mwingine aliyekufa miaka tatu iliyopita. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kumzika pamoja na maiti mwingine maadamu kuna mabaki ya yule maiti mwingine. Kujengea juu ya hili ni wajibu kumzika kila mmoja kwenye kaburi lake. Pindi wanapochimba wakikuta kuna mtu maiti ndani ya ardhi, ni wajibu kurudisha udongo huo na kutafuta kaburi mpya hata kama itakuwa mbali. Muislamu ana heshima yake hata kama ni maiti. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Kuvunja mfupa wa maiti ni kama kuvunja mfupa wa aliye hai.”[1]
[1] Ahmad (6/48), Abu Daawuud (3207) na Ibn Maajah (1616).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/215)
- Imechapishwa: 26/08/2021
Swali: Mama yangu alikufa alipokuwa na miaka. Akazikwa pamoja na mwanamke mwingine aliyekufa miaka tatu iliyopita. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kumzika pamoja na maiti mwingine maadamu kuna mabaki ya yule maiti mwingine. Kujengea juu ya hili ni wajibu kumzika kila mmoja kwenye kaburi lake. Pindi wanapochimba wakikuta kuna mtu maiti ndani ya ardhi, ni wajibu kurudisha udongo huo na kutafuta kaburi mpya hata kama itakuwa mbali. Muislamu ana heshima yake hata kama ni maiti. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Kuvunja mfupa wa maiti ni kama kuvunja mfupa wa aliye hai.”[1]
[1] Ahmad (6/48), Abu Daawuud (3207) na Ibn Maajah (1616).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/215)
Imechapishwa: 26/08/2021
https://firqatunnajia.com/mama-amezikwa-na-mwanamke-aliyezikwa-miaka-mitatu-iliyopita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)