Swali: Baadhi ya watu wanasema ule udongo uliochimbwa kutoka kwenye kaburi ni lazima kuurudisha wote ndani ya kaburi kwa kuwa ni haki ya yule maiti. Ni sahihi?
Jibu: Si sahihi. Ikiwa udongo unazidi kiasi cha shibri basi haitakiwi kumfukia nao. Makaburi yaliyoinuka zaidi ya shibri ni kwenda kinyume na Sunnah. Wanachuoni wanasema kusizidishwe udongo mwingine juu ya ule udongo uliotolewa ndani ya kaburi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/194)
- Imechapishwa: 26/08/2021
Swali: Baadhi ya watu wanasema ule udongo uliochimbwa kutoka kwenye kaburi ni lazima kuurudisha wote ndani ya kaburi kwa kuwa ni haki ya yule maiti. Ni sahihi?
Jibu: Si sahihi. Ikiwa udongo unazidi kiasi cha shibri basi haitakiwi kumfukia nao. Makaburi yaliyoinuka zaidi ya shibri ni kwenda kinyume na Sunnah. Wanachuoni wanasema kusizidishwe udongo mwingine juu ya ule udongo uliotolewa ndani ya kaburi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/194)
Imechapishwa: 26/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kurudisha-udongo-wote-uliochimbwa-kutoka-ndani-ya-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)