Swali: Nini maana ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Malaika hawaingii katika nyumba ilio na mbwa au picha”?
Jibu: Malaika wa kheri na rehema. Vinginevyo Malaika ni wenye kumwandama mja na hawamwachi. Malaika kusudiwa ni wale wasiomchunga mwanadamu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24116/معنى-عدم-دخول-الملاىكة-بيتا-به-كلب-او-صورة
- Imechapishwa: 31/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)