Swali: Walinganizi wanaowalingania watu kwenye milango ya Moto ni waislamu ambao ni watu wa Bid´ah au ni makafiri?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa juu ya watu hawa. Maswahabah walimuuliza: “Tusifie nao, ee Mtume wa Allaah?” Akasema:
“Ni watu walio na ngozi zetu… ”
Bi maana ni katika makabila yetu, miji yetu na familia zetu pia.
“… na wanazungumza kwa ndimi zetu.”
Ni waarabu wafaswaha. Allaah amesema kuhusu wanafiki:
وَإِن يَقُولُوا تَسْمَعْ لِقَوْلِهِمْ
”Wanaposema, basi unasikiliza kauli yao.” (63:04)
Kwa kuwa ni watu wa ufaswaha na wa balagha. Hii ni fitina kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (4) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-18.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Walinganizi wanaowalingania watu kwenye milango ya Moto ni waislamu ambao ni watu wa Bid´ah au ni makafiri?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa juu ya watu hawa. Maswahabah walimuuliza: “Tusifie nao, ee Mtume wa Allaah?” Akasema:
“Ni watu walio na ngozi zetu… ”
Bi maana ni katika makabila yetu, miji yetu na familia zetu pia.
“… na wanazungumza kwa ndimi zetu.”
Ni waarabu wafaswaha. Allaah amesema kuhusu wanafiki:
وَإِن يَقُولُوا تَسْمَعْ لِقَوْلِهِمْ
”Wanaposema, basi unasikiliza kauli yao.” (63:04)
Kwa kuwa ni watu wa ufaswaha na wa balagha. Hii ni fitina kubwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (4) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-18.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/makusudio-ya-walinganizi-wanaolingania-kwenda-motoni/