Swali: Walinganizi wanaowalingania watu kwenye milango ya Moto ni waislamu ambao ni watu wa Bid´ah au ni makafiri?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa juu ya watu hawa. Maswahabah walimuuliza: “Tusifie nao, ee Mtume wa Allaah?” Akasema:
“Ni watu walio na ngozi zetu… ”
Bi maana ni katika makabila yetu, miji yetu na familia zetu pia.
“… na wanazungumza kwa ndimi zetu.”
Ni waarabu wafaswaha. Allaah amesema kuhusu wanafiki:
وَإِن يَقُولُوا تَسْمَعْ لِقَوْلِهِمْ
”Wanaposema, basi unasikiliza kauli yao.” (63:04)
Kwa kuwa ni watu wa ufaswaha na wa balagha. Hii ni fitina kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (4) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-18.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mzushi?
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mtu wa Bid´ah? Jibu: Kuna sampuli mbili za Bid´ah: 1- Bid´ah ambayo ni kufuru. Mfano wa Bid´ah hiyo ni kama mti kuamini kuwa walii ananufaisha na anadhuru pamoja na Allaah au pasi na Allaah. Kuswali nyuma ya mtu kama huyu si sahihi…
In "Swalah ya Idi"
Ni Wajibu Kutahadharisha Jamaa´at-ut-Tabliygh
Swali: Mimi nilikuwa na Jamaa´at-ut-Tabliygh. Namna muda ulivyokuwa unaenda nikaona namna mfumo wao ulivyo na Bid´ah na Taswawwuf. Nilikuwa nao karibu miaka tano. Inajuzu kwangu kutahadharisha nao na khaswa kwa kuzingatia ya kwamba ndugu zetu wa kisaudi wana mawasiliano na wao? Jibu: Hapa Saudi Arabia tuna Da´wah. Tuna wizara ya…
In "al-Fawzaan kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh"
112. Nasaha kwa ndugu zetu
Swali 112: Una nini cha kusema katika kuitukuza Sunnah na Ahl-us-Sunnah, kujifunza nayo na kuifanyia kazi pamoja na kuwachukia Bid´ah na watu wa Bid´ah? Jibu: Kile ambacho ninajinasihi nafsi yangu na ndugu zangu ni kumcha Allaah (Ta´ala)[1], kushikamana barabara na mfumo wa Salaf na kujihadhari na Bid´ah na wazushi. Aidha…
In "al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah"