Swali: Wakati wanachuoni wanawapowaraddi watu wa batili wanasema kuwa nyama za wanachuoni ni zenye sumu. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Makusudio sio mtu wala nyama yake. Makusudio ni kubainisha haki. Ikiwa yule mwenye kuraddi malengo yake ni mtu huyo, hili halijuzu. Ama ikiwa makusudio yake ni kubainisha haki na kumnasihi mkoseaji huyo, ni sawa. Ni jambo zuri.
Lakini ni wanachuoni tu ndio wenye kuraddi. Siku hizi kila mtu amekuwa anaraddi. Wanagonbana juu ni nani anayefaa kuzungumza na wanasema kuwa inahusiana na Radd. Wewe hustahiki Radd. Hujui namna ya kuraddi. Wewe makusudio yako wewe ni mtu huyo. Haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Wakati wanachuoni wanawapowaraddi watu wa batili wanasema kuwa nyama za wanachuoni ni zenye sumu. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Makusudio sio mtu wala nyama yake. Makusudio ni kubainisha haki. Ikiwa yule mwenye kuraddi malengo yake ni mtu huyo, hili halijuzu. Ama ikiwa makusudio yake ni kubainisha haki na kumnasihi mkoseaji huyo, ni sawa. Ni jambo zuri.
Lakini ni wanachuoni tu ndio wenye kuraddi. Siku hizi kila mtu amekuwa anaraddi. Wanagonbana juu ni nani anayefaa kuzungumza na wanasema kuwa inahusiana na Radd. Wewe hustahiki Radd. Hujui namna ya kuraddi. Wewe makusudio yako wewe ni mtu huyo. Haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/makusudio-ya-radd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)