Swali: Nini anachokusudia at-Tirmidhiy anaposema:
”Hadiyth hii ni nzuri, Swahiyh na ngeni.”?
Jibu: Wanazuoni wametaja kuwa huenda ameipokea kwa njia moja nzuri na njia nyingine Swahiyh, pengine vilevile wakati wa shaka maana yake ni nzuri au Swahiyh.
Swali: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa at-Tirmidhiy anaaposema:
”Hadiyth ni nzuri” na akanyamaza, basi mara nyingi ni dhaifu. Ni upi usahihi wa hilo?
Jibu: Hapana, ni istilahi yake – Allaah amrehemu. Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Ni jambo amelizindua Haafidhw Ibn Hajar katika maelezo ya ”an-Nukhbah”.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25221/ما-معنى-قول-الترمذي-حديث-حسن-صحيح-غريب
- Imechapishwa: 18/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)