Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza bafuni?
Jibu: Ikiwa hayo ni katika maeneo ambapo kunakidhiwa haja, basi haijuzu kuzungumza na huku mtu anakidhi haja yake. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Watu wawili wasitoke nje kwenda kukidhi haja na huku wakizungumza. Allaah huchukia jambo hilo.”
Au yamepokelewa matamshi kama hayo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 13/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza bafuni?
Jibu: Ikiwa hayo ni katika maeneo ambapo kunakidhiwa haja, basi haijuzu kuzungumza na huku mtu anakidhi haja yake. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Watu wawili wasitoke nje kwenda kukidhi haja na huku wakizungumza. Allaah huchukia jambo hilo.”
Au yamepokelewa matamshi kama hayo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 13/11/2021
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kuzungumza-wakati-wa-kukidhi-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)