Swali: Imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Hadiyth yenye maana ifuatayo:
“Yeyote atakayeswali Subh katika mkusanyiko na akakaa chini akimtaja Allaah mpaka jua likachomoza kisha akaswali Rak´ah mbili, basi hayo yanalingana na hajj na ´umrah vikamilifu.”
Je, Hadiyth hii ni Swahiyh?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya kusihi kwake. Lakini maoni ya sawa ni kwamba ni Hadiyth nzuri kutokana na wingi wa njia zake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/378)
- Imechapishwa: 13/11/2021
Swali: Imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Hadiyth yenye maana ifuatayo:
“Yeyote atakayeswali Subh katika mkusanyiko na akakaa chini akimtaja Allaah mpaka jua likachomoza kisha akaswali Rak´ah mbili, basi hayo yanalingana na hajj na ´umrah vikamilifu.”
Je, Hadiyth hii ni Swahiyh?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya kusihi kwake. Lakini maoni ya sawa ni kwamba ni Hadiyth nzuri kutokana na wingi wa njia zake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/378)
Imechapishwa: 13/11/2021
https://firqatunnajia.com/ambaye-amelingana-na-aliyefanya-hajj-na-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)