Swali: Je, majini wana dini mbali mbali kama walivo binaadamu kama mfano wa mayahudi, manaswara na dini nyinginezo?
Jibu: Ni kama mlivosikia kwenye Qur-aan.
كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا
“… tumekuwa matabaka mbalimbali.” (72:11)
Kuna ambao ni mayahudi, manaswara, waabudu moto, washirikina, wakanaMungu, waumini, mafusaki, watenda madhambi na kadhalika. Wako sampuli mbali mbali. Hakuna kinachowajumuisha binaadamu na majini isipokuwa kushikamana na Qur-aan na Sunnah. Hichi ndio kitu kinachowafanya watu na majini kuwa kitu kimoja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Je, majini wana dini mbali mbali kama walivo binaadamu kama mfano wa mayahudi, manaswara na dini nyinginezo?
Jibu: Ni kama mlivosikia kwenye Qur-aan.
كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا
“… tumekuwa matabaka mbalimbali.” (72:11)
Kuna ambao ni mayahudi, manaswara, waabudu moto, washirikina, wakanaMungu, waumini, mafusaki, watenda madhambi na kadhalika. Wako sampuli mbali mbali. Hakuna kinachowajumuisha binaadamu na majini isipokuwa kushikamana na Qur-aan na Sunnah. Hichi ndio kitu kinachowafanya watu na majini kuwa kitu kimoja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/majini-wako-matabaka-mbalimbali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)