Swali: Mtu akiingia katika Uislamu na jina lake la zamani lilikuwa la kigeni – je, analazimika kulibadilisha kwenda katika jina la kiislamu?
Jibu: Ikiwa jina lake halina makatazo si lazima kulibadilisha. Ama ikiwa si mazuri basi ayabadilishe kwenda katika majina mazuri zaidi. Mfano wa majina yaliyokatazwa ´Abdul-Ka´bah (mja wa Ka´ba) au ´Abdun-Nabiy (mja wa Mtume).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22370/هل-يلزم-الاعجمي-اذا-اسلم-تغيير-اسمه
- Imechapishwa: 10/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)