Swali: Baadhi ya mabomba ni ya zamani. Inatokea wakati fulani kunatoka manjano bombani kwa sababu ya kutu. Je, inafaa kutumia maji kama haya?
Jibu: Haina neno. Mfano wa mambo kama haya ni kama maji kubadilika kwa sababu ya mabomba au majani yenye kuingia ndani ya maji. Haidhuru. Wanachuoni wanasema ni vigumu kuepuka vitu kama hivi na maji. Hayadhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Baadhi ya mabomba ni ya zamani. Inatokea wakati fulani kunatoka manjano bombani kwa sababu ya kutu. Je, inafaa kutumia maji kama haya?
Jibu: Haina neno. Mfano wa mambo kama haya ni kama maji kubadilika kwa sababu ya mabomba au majani yenye kuingia ndani ya maji. Haidhuru. Wanachuoni wanasema ni vigumu kuepuka vitu kama hivi na maji. Hayadhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/maji-yanabadilika-kwa-sababu-ya-mabomba-ya-zamani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)