Swali: Kuna damu yenye kubaki kwenye nyama baada ya kuchinjwa. Ni najisi?
Jibu: Hapana. Haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu yenye kubaki katika nyama inaliwa na haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu ilio ya haramu ni ile yenye kuchuruzika kutoka kwenye mishipa ya koo wakati wa kuchinja. Damu kama hii ndio najisi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Kuna damu yenye kubaki kwenye nyama baada ya kuchinjwa. Ni najisi?
Jibu: Hapana. Haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu yenye kubaki katika nyama inaliwa na haidhuru. Ni yenye kusamehewa. Damu ilio ya haramu ni ile yenye kuchuruzika kutoka kwenye mishipa ya koo wakati wa kuchinja. Damu kama hii ndio najisi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/damu-yenye-kubaki-kwenye-nyama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)