Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya ambaye maji yamemwingia tumboni wakati akitawadha, wakati akioga au wakati akijitia maji ili aweze kupata baridi kidogo wakati wa joto kali? Je, analazimika kulipa siku nzima badala yake au awape swadaqah masikini kutokana na mapungufu haya?
Jibu: Ambaye ataoga, akasuuza kinywa chake au akapandisha maji puani ambapo maji yakaingia kooni mwake pasi na kutaka kwake swawm yake haiharibiki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ummah wangu umesamehewa makosa, usahaulifu na yale wanayotenzwa kwayo nguvu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/276) nr. (5733)
- Imechapishwa: 28/04/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya ambaye maji yamemwingia tumboni wakati akitawadha, wakati akioga au wakati akijitia maji ili aweze kupata baridi kidogo wakati wa joto kali? Je, analazimika kulipa siku nzima badala yake au awape swadaqah masikini kutokana na mapungufu haya?
Jibu: Ambaye ataoga, akasuuza kinywa chake au akapandisha maji puani ambapo maji yakaingia kooni mwake pasi na kutaka kwake swawm yake haiharibiki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ummah wangu umesamehewa makosa, usahaulifu na yale wanayotenzwa kwayo nguvu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/276) nr. (5733)
Imechapishwa: 28/04/2022
https://firqatunnajia.com/maji-yaliyomwingia-mfungaji-kooni-alipokuwa-akitawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)