Swali: Siku ya ijumaa kunakuwa maiti wengi na wanakosa nafasi. Je, waswaliwe swalah moja ndefu au waswaliwe mara nyingi [kila mmoja kivyake]?
Jibu: Wote waswaliwe swalah moja ya kawaida na si ndefu. Imamu arudi nyuma na waswalaji nao warudi nyuma. Haijalishi kitu hata kama safu zitasogeleana. Kwa kuwa hawahitajii kurukuu wala kusujudu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/104)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Siku ya ijumaa kunakuwa maiti wengi na wanakosa nafasi. Je, waswaliwe swalah moja ndefu au waswaliwe mara nyingi [kila mmoja kivyake]?
Jibu: Wote waswaliwe swalah moja ya kawaida na si ndefu. Imamu arudi nyuma na waswalaji nao warudi nyuma. Haijalishi kitu hata kama safu zitasogeleana. Kwa kuwa hawahitajii kurukuu wala kusujudu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/104)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/maiti-wakiwa-wengi-waswaliwe-pamoja-au-kila-mmoja-aswaliwe-kivyake/