Swali: Beti ambazo zinakusanya yale maeneo ambayo inafaa kusengenya?
Jibu: Ni dhahiri:
الذنب ليس بِغِيبَةٍ في ستةٍ
Usengenyi sio dhambi katika pahali sita
لمُتَظَلِّم، ومُعَرِّف، ومُحَذِّرِ
Mdhulumiwa, anayetambulisha na anayetahadharisha
ولمُظْهِرٍ فِسْقٍ، ومُسْتَفْت،ٍ ومَنْ
Anayedhihirisha ufuska, anayeuliza na
طَلَبَ الإعانةَ في إزالة مُنكرِ
anayeomba msaada katika kuondosha maovu
Hali zote hizi ziko wazi. Anayetambulisha maimamu wamewatambulisha wale waliojeruhiwa. Anayetahadharisha kwa mfano mtu katika Ahl-ul-Bid´ah. Anayedhihirisha ufuska wake. Anayeuliza kama mfano wa mwanamke aliyeuliza:
“Ee Mtume wa Allaah! Hakika Abu Sufyaan ni mwanaume bakhili.”
Alikuwa anauliza. Vilevile anayeomba msaada katika kuondosha maovu mahali fulani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23510/ما-الحالات-التي-تجوز-فيها-الغيبة
- Imechapishwa: 03/02/2024
Swali: Beti ambazo zinakusanya yale maeneo ambayo inafaa kusengenya?
Jibu: Ni dhahiri:
الذنب ليس بِغِيبَةٍ في ستةٍ
Usengenyi sio dhambi katika pahali sita
لمُتَظَلِّم، ومُعَرِّف، ومُحَذِّرِ
Mdhulumiwa, anayetambulisha na anayetahadharisha
ولمُظْهِرٍ فِسْقٍ، ومُسْتَفْت،ٍ ومَنْ
Anayedhihirisha ufuska, anayeuliza na
طَلَبَ الإعانةَ في إزالة مُنكرِ
anayeomba msaada katika kuondosha maovu
Hali zote hizi ziko wazi. Anayetambulisha maimamu wamewatambulisha wale waliojeruhiwa. Anayetahadharisha kwa mfano mtu katika Ahl-ul-Bid´ah. Anayedhihirisha ufuska wake. Anayeuliza kama mfano wa mwanamke aliyeuliza:
“Ee Mtume wa Allaah! Hakika Abu Sufyaan ni mwanaume bakhili.”
Alikuwa anauliza. Vilevile anayeomba msaada katika kuondosha maovu mahali fulani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23510/ما-الحالات-التي-تجوز-فيها-الغيبة
Imechapishwa: 03/02/2024
https://firqatunnajia.com/maeneo-sita-panapofaa-kusengenya/