Swali: Vipi ikiwa kumsengenya mtenda dhambi kunapelekea katika madhara?
Jibu: Asifanye. Anasihiwe na asimsengenye. Lakini mwenye kutangaza maovu akiona kuwa kuna madhara akimsema asimzungumze. Muumini ni mwenye kuchunga manufaa na madhara. Si kushambulia peke yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23509/ما-الحكم-اذا-ترتب-على-غيبة-الفاسد-مفاسد
- Imechapishwa: 03/02/2024
Swali: Vipi ikiwa kumsengenya mtenda dhambi kunapelekea katika madhara?
Jibu: Asifanye. Anasihiwe na asimsengenye. Lakini mwenye kutangaza maovu akiona kuwa kuna madhara akimsema asimzungumze. Muumini ni mwenye kuchunga manufaa na madhara. Si kushambulia peke yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23509/ما-الحكم-اذا-ترتب-على-غيبة-الفاسد-مفاسد
Imechapishwa: 03/02/2024
https://firqatunnajia.com/madhara-makubwa-katika-kumsema-anayetangaza-maovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)