Swali: Je, inahitajika kunyanyua mikono wakati wa Takbiyr zote?
Jibu:
1 – Wakati wa kuanza swalah.
2 – Wakati wa Rukuu´.
3 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.
4 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Tashahhud ya kwanza.
Katika maeneo haya manne.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24845/ما-مواضع-رفع-اليدين-في-تكبيرات-الصلاة
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Je, inahitajika kunyanyua mikono wakati wa Takbiyr zote?
Jibu:
1 – Wakati wa kuanza swalah.
2 – Wakati wa Rukuu´.
3 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.
4 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Tashahhud ya kwanza.
Katika maeneo haya manne.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24845/ما-مواضع-رفع-اليدين-في-تكبيرات-الصلاة
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/maeneo-manne-ambayo-inanyanyuliwa-mikono-ndani-ya-swalah/