Swali: Mtu ambaye alivaa soksi baada ya kuswali ´Aswr, kisha akapatwa na hadathi baada ya ´Isha na akapangusa mara ya kwanza Fajr.
Jibu: Ataanza kuhesabu muda wa kupangusa kuanzia Fajr.
Swali: Kwa hivyo ataanza kuhesabu kuanzia Fajr.
Jibu: Ndio, muda wake unaanza kuhesabiwa kuanzia Fajr.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24860/متى-يبدا-وقت-المسح-على-الخفين
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Mtu ambaye alivaa soksi baada ya kuswali ´Aswr, kisha akapatwa na hadathi baada ya ´Isha na akapangusa mara ya kwanza Fajr.
Jibu: Ataanza kuhesabu muda wa kupangusa kuanzia Fajr.
Swali: Kwa hivyo ataanza kuhesabu kuanzia Fajr.
Jibu: Ndio, muda wake unaanza kuhesabiwa kuanzia Fajr.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24860/متى-يبدا-وقت-المسح-على-الخفين
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ni-lini-unaanza-kuhesabiwa-muda-wa-kupangusa-juu-ya-soksi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)